Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na kutoka katika kabila la Gadi,+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Ramothi katika Gileadi,+ na kiwanja chake cha malisho, na Mahanaimu+ na kiwanja chake cha malisho,

  • 1 Wafalme 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo mfalme wa Israeli akawaambia watumishi wake: “Je, kweli hamjui kwamba Ramothi-gileadi+ ni jiji letu? Na bado tunasitasita kulichukua kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria.”

  • 2 Wafalme 8:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi akaenda pamoja na Yehoramu mwana wa Ahabu kupigana vita na Hazaeli+ mfalme wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ lakini Wasiria wakampiga+ Yehoramu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:80
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 80 na kutoka katika kabila la Gadi,+ Ramothi+ katika Gileadi pamoja na viwanja vyake vya malisho na Mahanaimu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki