Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 yaani, Beseri+ katika nyika kwenye nchi tambarare ya juu kwa ajili ya Warubeni, na Ramothi+ katika Gileadi kwa ajili ya Wagadi, na Golani+ katika Bashani kwa ajili ya Wamanase.+

  • Yoshua 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na kwa ajili ya wana wa Gershoni,+ wa familia za Walawi, kulikuwa kutoka katika nusu ya kabila la Manase+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Golani,+ katika Bashani, na kiwanja chake cha malisho, na Beeshtera+ na kiwanja chake cha malisho; majiji mawili.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:71
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 71 Na kwa wana wa Gershomu+ wakawapa kutoka katika familia ya nusu ya kabila la Manase, Golani+ katika Bashani pamoja na viwanja vyake vya malisho na Ashtarothi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki