27 Na kwa ajili ya wana wa Gershoni,+ wa familia za Walawi, kulikuwa kutoka katika nusu ya kabila la Manase+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Golani,+ katika Bashani, na kiwanja chake cha malisho, na Beeshtera+ na kiwanja chake cha malisho; majiji mawili.