30 Na eneo lao likawa kutoka Mahanaimu+ na Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani,+ na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ vilivyo katika Bashani, miji 60.
23 Kwa habari ya wana wa nusu ya kabila la Manase,+ walikaa katika nchi kutoka Bashani+ mpaka Baal-hermoni+ na Seniri+ na Mlima Hermoni.+ Nao wakawa wengi sana.