Kumbukumbu la Torati 4:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 kutoka Aroeri,+ jiji lililoko ukingoni mwa bonde la mto la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+ Zaburi 42:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ee Mungu wangu, nafsi yangu mwenyewe imekata tamaa ndani yangu.+Ndiyo sababu ninakukumbuka,+Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,+Kutoka katika ule mlima mdogo.+ Zaburi 133:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ni kama umande+ wa Hermoni+Unaoshuka kwenye milima ya Sayuni.+Kwa maana huko Yehova aliamuru baraka iwepo,+Naam, uzima mpaka wakati usio na kipimo.+
48 kutoka Aroeri,+ jiji lililoko ukingoni mwa bonde la mto la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+
6 Ee Mungu wangu, nafsi yangu mwenyewe imekata tamaa ndani yangu.+Ndiyo sababu ninakukumbuka,+Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,+Kutoka katika ule mlima mdogo.+
3 Ni kama umande+ wa Hermoni+Unaoshuka kwenye milima ya Sayuni.+Kwa maana huko Yehova aliamuru baraka iwepo,+Naam, uzima mpaka wakati usio na kipimo.+