Kumbukumbu la Torati 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 (Wasidoni walikuwa wakiuita Hermoni Sirioni,+ nao Waamori walikuwa wakiuita Seniri,)+ Kumbukumbu la Torati 4:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 kutoka Aroeri,+ jiji lililoko ukingoni mwa bonde la mto la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+ 1 Mambo ya Nyakati 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa habari ya wana wa nusu ya kabila la Manase,+ walikaa katika nchi kutoka Bashani+ mpaka Baal-hermoni+ na Seniri+ na Mlima Hermoni.+ Nao wakawa wengi sana.
48 kutoka Aroeri,+ jiji lililoko ukingoni mwa bonde la mto la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+
23 Kwa habari ya wana wa nusu ya kabila la Manase,+ walikaa katika nchi kutoka Bashani+ mpaka Baal-hermoni+ na Seniri+ na Mlima Hermoni.+ Nao wakawa wengi sana.