Wimbo wa Sulemani 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na uje pamoja nami kutoka Lebanoni, ewe bibi-arusi,+ uje pamoja nami kutoka Lebanoni.+ Ushuke kutoka kilele cha Milima ya Anti-Lebanoni, kutoka kilele cha Seniri,+ naam, Hermoni,+ kutoka katika matundu ya simba, kutoka katika milima ya chui. Ezekieli 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Walikutengenezea kutokana na miberoshi kutoka Seniri+ mbao zote. Waliuchukua mwerezi kutoka Lebanoni+ na kufanya mlingoti juu yako.
8 Na uje pamoja nami kutoka Lebanoni, ewe bibi-arusi,+ uje pamoja nami kutoka Lebanoni.+ Ushuke kutoka kilele cha Milima ya Anti-Lebanoni, kutoka kilele cha Seniri,+ naam, Hermoni,+ kutoka katika matundu ya simba, kutoka katika milima ya chui.
5 Walikutengenezea kutokana na miberoshi kutoka Seniri+ mbao zote. Waliuchukua mwerezi kutoka Lebanoni+ na kufanya mlingoti juu yako.