23 Kwa habari ya wana wa nusu ya kabila la Manase,+ walikaa katika nchi kutoka Bashani+ mpaka Baal-hermoni+ na Seniri+ na Mlima Hermoni.+ Nao wakawa wengi sana.
8 Na uje pamoja nami kutoka Lebanoni, ewe bibi-arusi,+ uje pamoja nami kutoka Lebanoni.+ Ushuke kutoka kilele cha Milima ya Anti-Lebanoni, kutoka kilele cha Seniri,+ naam, Hermoni,+ kutoka katika matundu ya simba, kutoka katika milima ya chui.