Kumbukumbu la Torati 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+Maneno yangu yatadondoka kama umande,+Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+ Methali 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+
2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+Maneno yangu yatadondoka kama umande,+Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+
12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+