Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+

      Kwa nini uko mbali usiniokoe,+

      Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+

  • Zaburi 43:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+

      Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?

      Mngojee Mungu,+

      Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu na kuwa ndiye Mungu wangu.+

  • Methali 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hangaiko katika moyo wa mtu huufanya uiname,+ lakini neno jema huufanya ushangilie.+

  • Yohana 12:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Sasa nafsi yangu inataabika,+ nami nitasema nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki