Methali 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Tarajio lililocheleweshwa linafanya moyo uwe mgonjwa,+ lakini kitu kinachotamaniwa kinapokuja ni mti wa uzima.+ Methali 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Maneno yenye kupendeza ni sega la asali,+ ni matamu kwa nafsi na maponyo mifupani.+ Isaya 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+ Zekaria 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye Yehova akamjibu malaika aliyekuwa akisema nami, kwa maneno mema, maneno yenye kufariji;+
12 Tarajio lililocheleweshwa linafanya moyo uwe mgonjwa,+ lakini kitu kinachotamaniwa kinapokuja ni mti wa uzima.+
4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+