Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tarajio lililocheleweshwa linafanya moyo uwe mgonjwa,+ lakini kitu kinachotamaniwa kinapokuja ni mti wa uzima.+

  • Methali 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Maneno yenye kupendeza ni sega la asali,+ ni matamu kwa nafsi na maponyo mifupani.+

  • Isaya 50:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+

  • Zekaria 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye Yehova akamjibu malaika aliyekuwa akisema nami, kwa maneno mema, maneno yenye kufariji;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki