Methali 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mtu hushangilia jibu la kinywa chake,+ nalo neno linalosemwa wakati unaofaa ni jema kama nini!+ Mathayo 13:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Na baada ya kuingia eneo lake la nyumbani+ akaanza kuwafundisha katika sinagogi lao,+ hivi kwamba wakastaajabu na kusema: “Mtu huyu alipata wapi hekima hii na kazi hizi zenye nguvu?
54 Na baada ya kuingia eneo lake la nyumbani+ akaanza kuwafundisha katika sinagogi lao,+ hivi kwamba wakastaajabu na kusema: “Mtu huyu alipata wapi hekima hii na kazi hizi zenye nguvu?