Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Wafarijini, wafarijini watu wangu,” asema Mungu wenu.+

  • Yeremia 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kupatana na kutimia kwa miaka 70 katika Babiloni nitawakazia ninyi fikira,+ nami nitawatimizia neno langu jema kwa kuwarudisha tena mahali hapa.’+

  • Yeremia 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo,” asema Yehova, “wala usiingiwe na hofu, Ee Israeli.+ Kwa maana, tazama, ninakuokoa wewe kutoka mbali na uzao wako kutoka katika nchi yao ya utekwani.+ Na hakika Yakobo atarudi na kuwa huru kutokana na usumbufu naye atastarehe, wala hakutakuwa na mtu yeyote anayemtetemesha.”+

  • Sefania 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova ameziondoa hukumu juu yako.+ Amemgeuzia mbali adui yako.+ Mfalme wa Israeli, Yehova, yupo katikati yako.+ Hutaogopa msiba tena.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki