13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+
3 Kwa maana Yehova hakika atamfariji Sayuni.+ Hakika atafariji mahali pake pote palipoharibiwa,+ naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+ na nchi yake tambarare ya jangwani kama bustani ya Yehova.+ Furaha na kushangilia zitapatikana ndani yake, kutoa shukrani na sauti ya muziki.+