Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo mfalme akaniambia: “Kwa nini uso wako una huzuni+ na wewe si mgonjwa? Hii ni huzuni ya moyo tu.”+ Basi nikaogopa sana.

  • Zaburi 38:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nimeingiwa na wasiwasi, nimeinama kupita kiasi;+

      Nimetembea huku na huku kwa huzuni mchana kutwa.+

  • Methali 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Moyo wenye shangwe huchangamsha sura,+ lakini kwa sababu ya maumivu ya moyo roho hupata pigo.+

  • Mathayo 6:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi: Acheni kuhangaika+ juu ya nafsi zenu kuhusu kile mtakachokula au kile mtakachokunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, nafsi haimaanishi zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki