Nehemia 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo mfalme akaniambia: “Kwa nini uso wako una huzuni+ na wewe si mgonjwa? Hii ni huzuni ya moyo tu.”+ Basi nikaogopa sana. Zaburi 38:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeingiwa na wasiwasi, nimeinama kupita kiasi;+Nimetembea huku na huku kwa huzuni mchana kutwa.+ Methali 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Moyo wenye shangwe huchangamsha sura,+ lakini kwa sababu ya maumivu ya moyo roho hupata pigo.+ Mathayo 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi: Acheni kuhangaika+ juu ya nafsi zenu kuhusu kile mtakachokula au kile mtakachokunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, nafsi haimaanishi zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+
2 Kwa hiyo mfalme akaniambia: “Kwa nini uso wako una huzuni+ na wewe si mgonjwa? Hii ni huzuni ya moyo tu.”+ Basi nikaogopa sana.
25 “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi: Acheni kuhangaika+ juu ya nafsi zenu kuhusu kile mtakachokula au kile mtakachokunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, nafsi haimaanishi zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+