Mwanzo 40:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akawauliza hao maofisa wa Farao waliokuwa naye katika jela ya nyumba ya bwana wake, akisema: “Kwa nini nyuso zenu zina huzuni leo?”+
7 Naye akawauliza hao maofisa wa Farao waliokuwa naye katika jela ya nyumba ya bwana wake, akisema: “Kwa nini nyuso zenu zina huzuni leo?”+