Nehemia 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo mfalme akaniambia: “Kwa nini uso wako una huzuni+ na wewe si mgonjwa? Hii ni huzuni ya moyo tu.”+ Basi nikaogopa sana. Zaburi 143:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na roho+ yangu inazimia ndani yangu;Moyo wangu wenyewe umekufa ganzi katikati yangu.+ Methali 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hangaiko katika moyo wa mtu huufanya uiname,+ lakini neno jema huufanya ushangilie.+
2 Kwa hiyo mfalme akaniambia: “Kwa nini uso wako una huzuni+ na wewe si mgonjwa? Hii ni huzuni ya moyo tu.”+ Basi nikaogopa sana.