21 Naye akakimbia, akaondoka na kuvuka ule Mto,+ yeye na vyote alivyokuwa navyo. Baada ya hapo akaelekeza uso wake kwenye eneo lenye milima la Gileadi.+
31 Na nusu ya Gileadi, na Ashtarothi+ na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu katika Bashani, ikaenda kwa wana wa Makiri+ mwana wa Manase, kwa nusu ya wana wa Makiri kulingana na familia zao.
4 Naye akaja kuwa na wana 30 waliopanda punda 30 waliokomaa,+ nao walikuwa na majiji 30. Majiji hayo wanaendelea kuyaita Hawoth-yairi+ mpaka leo hii; yako katika nchi ya Gileadi.