-
1 Mambo ya Nyakati 21:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Na Daudi akamwambia Mungu wa kweli: “Je, si mimi niliyesema watu wahesabiwe, na je, si mimi niliyetenda dhambi na bila shaka kufanya ubaya?+ Lakini kondoo hawa,+ wamefanya nini? Tafadhali, Ee Yehova, Mungu wangu, acha mkono wako uje juu yangu na nyumba ya baba yangu; bali si juu ya watu wako,+ kwa kupigwa na tauni.”
-