17 Daudi akamwambia Mungu wa kweli: “Je, si mimi niliyesema watu wahesabiwe? Mimi ndiye niliyetenda dhambi, na mimi ndiye niliyekosea;+ lakini kondoo hawa—wamefanya nini? Ee Yehova Mungu wangu, tafadhali, acha mkono wako uniadhibu mimi na nyumba ya baba yangu; lakini usiwapige watu wako.”+