12 Kwa nini Wamisri waseme, ‘Alikuwa na nia ovu alipowatoa Misri. Alitaka kuwaua milimani na kuwaangamiza kabisa kutoka duniani’?+ Acha hasira yako inayowaka na ufikirie upya* uamuzi wako wa kuwaletea watu wako msiba huu.
22 Ndipo Musa na Haruni wakaanguka chini kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho ya watu wote,*+ je, dhambi ya mtu mmoja ikufanye uwakasirikie watu wote waliokusanyika?”+