Ayubu 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Uhai wa kila kiumbe umo* mikononi mwakeNa roho* ya kila mwanadamu.+ Mhubiri 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 kwa maana kuna mwisho wa* wanadamu na mwisho wa wanyama; wote wana mwisho uleule.+ Anavyokufa huyu, ndivyo anavyokufa huyu; na wote wana roho ileile.+ Kwa hiyo mwanadamu si bora kuliko wanyama, kwa maana kila kitu ni ubatili. Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+
19 kwa maana kuna mwisho wa* wanadamu na mwisho wa wanyama; wote wana mwisho uleule.+ Anavyokufa huyu, ndivyo anavyokufa huyu; na wote wana roho ileile.+ Kwa hiyo mwanadamu si bora kuliko wanyama, kwa maana kila kitu ni ubatili.
7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+