Ayubu 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini mwanadamu hufa na kulala bila uwezo wowote;Mwanadamu anapokufa, yuko wapi?+ Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, umefanya siku zangu ziwe chache tu;*+Na urefu wa maisha yangu kuwa si kitu mbele zako.+ Kwa hakika kila mwanadamu, ingawa anaonekana yuko salama, si kitu ila pumzi tu.+ (Sela) Zaburi 89:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ni mwanadamu gani anayeweza kuishi na asione kifo kamwe?+ Je, anaweza kujiokoa mwenyewe* kutoka katika nguvu za Kaburi?* (Sela)
5 Kwa kweli, umefanya siku zangu ziwe chache tu;*+Na urefu wa maisha yangu kuwa si kitu mbele zako.+ Kwa hakika kila mwanadamu, ingawa anaonekana yuko salama, si kitu ila pumzi tu.+ (Sela)
48 Ni mwanadamu gani anayeweza kuishi na asione kifo kamwe?+ Je, anaweza kujiokoa mwenyewe* kutoka katika nguvu za Kaburi?* (Sela)