Hesabu 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Musa na Haruni wakaanguka chini kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho ya watu wote,*+ je, dhambi ya mtu mmoja ikufanye uwakasirikie watu wote waliokusanyika?”+ Zaburi 104:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ukiituma roho yako, wanaumbwa,+Nawe unaifanya ardhi iwe na sura mpya. Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+ Ezekieli 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.* Kama nafsi ya baba ilivyo yangu ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu. Nafsi* inayotenda dhambi ndiyo itakayokufa.*
22 Ndipo Musa na Haruni wakaanguka chini kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho ya watu wote,*+ je, dhambi ya mtu mmoja ikufanye uwakasirikie watu wote waliokusanyika?”+
7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+
4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.* Kama nafsi ya baba ilivyo yangu ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu. Nafsi* inayotenda dhambi ndiyo itakayokufa.*