Ayubu 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho ya Mungu mwenyewe iliniumba,+Na pumzi ya Mweza-Yote mwenyewe ilinifanya niwe hai.+ Matendo 17:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana kupitia kwake tuko hai, tunatembea, na tunaishi, hata kama vile ambavyo baadhi ya washairi wenu wamesema, ‘Kwa maana sisi pia ni watoto* wake.’
28 Kwa maana kupitia kwake tuko hai, tunatembea, na tunaishi, hata kama vile ambavyo baadhi ya washairi wenu wamesema, ‘Kwa maana sisi pia ni watoto* wake.’