1 Mambo ya Nyakati 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Ni jambo lenye kunitaabisha sana. Tafadhali, acha nianguke mkononi mwa Yehova,+ kwa maana rehema zake ni nyingi;+ lakini usiache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+ Waebrania 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+
13 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Ni jambo lenye kunitaabisha sana. Tafadhali, acha nianguke mkononi mwa Yehova,+ kwa maana rehema zake ni nyingi;+ lakini usiache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+
6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+