1 Mambo ya Nyakati 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Jambo hilo linanihuzunisha sana. Tafadhali, acha nianguke mkononi mwa Yehova, kwa maana rehema zake ni nyingi sana;+ lakini usiniache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+
13 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Jambo hilo linanihuzunisha sana. Tafadhali, acha nianguke mkononi mwa Yehova, kwa maana rehema zake ni nyingi sana;+ lakini usiniache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+