- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 28:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
9 Na palikuwa na nabii wa Yehova hapo ambaye jina lake lilikuwa Odedi. Basi akaenda mbele ya jeshi lililokuwa likija Samaria na kuwaambia: “Tazama! Yehova Mungu wa mababu zenu aliwatia hao mkononi mwenu kwa sababu ya ghadhabu+ yake juu ya Yuda, hivi kwamba mkafanya mauaji kati yao kwa ghadhabu+ ambayo imefika mpaka mbinguni.+
 
 -