Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu.+ Hukuishika amri+ ya Yehova Mungu wako ambayo alikuamuru,+ kwa sababu, kama ungeishika, Yehova angeufanya ufalme wako juu ya Israeli kuwa imara mpaka wakati usio na kipimo.

  • Zaburi 107:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wale waliokuwa wapumbavu, kwa sababu ya njia ya ukosaji wao+

      Na kwa sababu ya makosa yao, mwishowe walijiletea mateso wenyewe.+

  • Mhubiri 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nzi waliokufa ndio hufanya mafuta ya mtengenezaji wa marashi+ yanuke, na kutoa povu. Ndivyo upumbavu kidogo unavyomfanya mtu mwenye thamani kwa sababu ya hekima na utukufu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki