Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nyama hiyo ilikuwa ingali bado katikati ya meno yao,+ kabla haijatafunwa, wakati hasira ya Yehova ilipowaka+ juu ya watu hao, na Yehova akaanza kuwapiga watu kwa mauaji makubwa sana.+

  • Zaburi 38:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Vidonda vyangu vinanuka, vina usaha,

      Kwa sababu ya upumbavu wangu.+

  • Yeremia 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ubaya wako unapaswa kukurekebisha,+ na matendo yako mwenyewe ya kukosa uaminifu yanapaswa kukukaripia.+ Jua, basi, na kuona kwamba kumwacha Yehova Mungu wako ni jambo baya na lenye uchungu,+ nawe hujaingiwa na hofu yangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi.

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+

  • 2 Petro 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 wakijitendea makosa wenyewe+ ikiwa ni thawabu ya kutenda makosa.+

      Wao huyaona maisha ya anasa wakati wa mchana kuwa raha.+ Wao ni madoa na dosari, wakijitia mno katika kupendezwa kusikozuiwa katika mafundisho yao ya udanganyifu huku wakila karamu pamoja nanyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki