Hesabu 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini nyama ilipokuwa ingali katikati ya meno yao, kabla hawajaitafuna, hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya watu, na Yehova akaanza kuwapiga watu kwa maangamizi makubwa sana.+ Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:33 Mnara wa Mlinzi,3/1/1995, uku. 16
33 Lakini nyama ilipokuwa ingali katikati ya meno yao, kabla hawajaitafuna, hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya watu, na Yehova akaanza kuwapiga watu kwa maangamizi makubwa sana.+