Zaburi 78:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini kabla hawajatosheleza kikamili tamaa yao,Chakula kilipokuwa kingali kinywani mwao,31 Ghadhabu ya Mungu ikawaka dhidi yao.+ Akawaua wanaume wenye nguvu zaidi;+Aliwaangamiza wanaume vijana wa Israeli. 1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji,+ kama baadhi yao walivyonung’unika, wakaangamizwa na mwangamizaji.+
30 Lakini kabla hawajatosheleza kikamili tamaa yao,Chakula kilipokuwa kingali kinywani mwao,31 Ghadhabu ya Mungu ikawaka dhidi yao.+ Akawaua wanaume wenye nguvu zaidi;+Aliwaangamiza wanaume vijana wa Israeli.