5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamtia mkononi+ mwa mfalme wa Siria,+ nao wakampiga na kuchukua kutoka kwake hesabu kubwa ya mateka na kuwaleta Damasko.+ Naye pia akatiwa mkononi mwa mfalme wa Israeli,+ naye akampiga kwa mauaji makubwa.
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+