1 Samweli 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini baadaye moyo wa Daudi ukaendelea kumchoma+ kwa sababu alikuwa amekata upindo wa lile koti la Sauli. Matendo 2:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Basi waliposikia hilo walichomwa moyoni,+ nao wakamwambia Petro na wale mitume wengine: “Wanaume, akina ndugu, tufanye nini?”+ Waroma 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wao ndio wanaoonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao,+ huku dhamiri+ yao ikiwatolea ushahidi na, katikati ya fikira zao wenyewe, wanashtakiwa+ au hata kutetewa. 2 Wakorintho 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+ 1 Yohana 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa habari ya lolote ambalo huenda mioyo yetu ikatuhukumu kuwa na hatia,+ kwa sababu Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua mambo yote.+
5 Lakini baadaye moyo wa Daudi ukaendelea kumchoma+ kwa sababu alikuwa amekata upindo wa lile koti la Sauli.
37 Basi waliposikia hilo walichomwa moyoni,+ nao wakamwambia Petro na wale mitume wengine: “Wanaume, akina ndugu, tufanye nini?”+
15 Wao ndio wanaoonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao,+ huku dhamiri+ yao ikiwatolea ushahidi na, katikati ya fikira zao wenyewe, wanashtakiwa+ au hata kutetewa.
10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+
20 kwa habari ya lolote ambalo huenda mioyo yetu ikatuhukumu kuwa na hatia,+ kwa sababu Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua mambo yote.+