Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini baadaye moyo wa Daudi ukaendelea kumchoma+ kwa sababu alikuwa amekata upindo wa lile koti la Sauli.

  • Matendo 2:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi waliposikia hilo walichomwa moyoni,+ nao wakamwambia Petro na wale mitume wengine: “Wanaume, akina ndugu, tufanye nini?”+

  • Waroma 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wao ndio wanaoonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao,+ huku dhamiri+ yao ikiwatolea ushahidi na, katikati ya fikira zao wenyewe, wanashtakiwa+ au hata kutetewa.

  • 2 Wakorintho 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+

  • 1 Yohana 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 kwa habari ya lolote ambalo huenda mioyo yetu ikatuhukumu kuwa na hatia,+ kwa sababu Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua mambo yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki