Luka 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa maana mataifa ya ulimwengu yanafuatilia kwa bidii mambo yote hayo, lakini Baba yenu anajua mnahitaji mambo hayo.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
30 kwa maana mataifa ya ulimwengu yanafuatilia kwa bidii mambo yote hayo, lakini Baba yenu anajua mnahitaji mambo hayo.+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+