2 Samweli 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+ 1 Mambo ya Nyakati 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Daudi akamwambia Mungu wa kweli: “Nimetenda dhambi sana+ kwa kuwa nimefanya jambo hili. Na sasa, tafadhali, acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+
13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+
8 Basi Daudi akamwambia Mungu wa kweli: “Nimetenda dhambi sana+ kwa kuwa nimefanya jambo hili. Na sasa, tafadhali, acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+