Zaburi 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+Usamehe kosa langu, kwa maana ni kubwa.+ Zaburi 51:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+
51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+