Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nazo nguvu zenu zitatumika bure, kwa maana nchi yenu haitatoa mazao yake,+ nao mti wa dunia hautatoa matunda yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Anga zako zilizo juu ya kichwa chako pia zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.+

  • 2 Samweli 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi kukawa na njaa+ katika siku za Daudi kwa miaka mitatu, mwaka baada ya mwaka; naye Daudi akatafuta shauri mbele za uso wa Yehova. Kisha Yehova akasema: “Kuna hatia ya damu juu ya Sauli na juu ya nyumba yake, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kama kuwe na njaa+ kwa miaka mitatu; au miezi mitatu wapinzani wako wakufagilie mbali na upanga wa adui+ zako ukufikie, au siku tatu kuwe na upanga wa Yehova,+ tauni,+ katika nchi, huku malaika wa Yehova akileta uharibifu+ katika eneo lote la Israeli.’ Na sasa uone ni jibu gani nitakalompelekea Yeye aliyenituma.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki