13 Basi Gadi akaingia kwa Daudi, akamwambia:+ “Je, njaa ikujie katika nchi yako kwa miaka saba,+ au miezi mitatu ya wewe kukimbia mbele ya adui zako,+ wakikufuatilia, au kuwe na siku tatu za tauni katika nchi yako?+ Sasa ujue na uone jibu nitakalompelekea Yeye aliyenituma.”