16 ndipo mimi nitawafanyia yanayofuata, na katika kutoa adhabu hakika nitaleta juu yenu usumbufu kwa kifua kikuu+ na homa kali, kufanya macho yafifie+ na kuifanya nafsi idhoofike.+ Nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa maana adui zenu hakika wataila.+
25 Nami hakika nitaleta juu yenu upanga unaolipiza kisasi+ kwa ajili ya agano;+ na hakika ninyi mtajikusanya katika majiji yenu, nami hakika nitaleta tauni katikati yenu,+ nanyi mtatiwa mkononi mwa adui.+
22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia.