Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nalo gari likaja katika shamba la Yoshua Mbeth-shemeshi, likasimama pale, ambapo palikuwa na jiwe kubwa. Nao wakaanza kupasua mbao za lile gari, na kuwatoa wale ng’ombe+ kuwa toleo la kuteketezwa kwa Yehova.+

  • 1 Wafalme 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo akarudi, akaacha kumfuata na kisha akachukua jozi moja ya wale ng’ombe na kuwatoa dhabihu,+ na kwa kutumia vifaa+ vya wale ng’ombe, akatokosa nyama yao, akawapa watu, nao wakaanza kula. Kisha akaondoka, akaanza kumfuata Eliya, naye akaanza kumhudumia.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini Ornani akamwambia Daudi: “Uchukue uwe wako,+ na bwana wangu mfalme afanye lililo jema machoni pake mwenyewe. Tazama, natoa ng’ombe+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa na chombo cha kupuria+ kwa ajili ya kuni+ na ngano kuwa toleo la nafaka. Natoa vyote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki