7 Na sasa chukueni na kutengeneza gari jipya la kukokotwa,+ na ng’ombe wawili wanaonyonyesha, ambao hawajawekwa nira+ yoyote juu yao, nanyi mwafunganishe ng’ombe hao na lile gari, nanyi mwarudishe ndama wao nyumbani ili wasiwafuate.
2 Lakini Samweli akasema: “Nawezaje kwenda? Mara Sauli atakaposikia habari hizo, ataniua hakika.”+ Na Yehova akaendelea kusema: “Chukua ng’ombe mchanga wa mifugo pamoja nawe, nawe useme, ‘Nimekuja kumtolea Yehova dhabihu.’+