Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akamwambia: “Nichukulie ndama wa miaka mitatu na mbuzi-jike wa miaka mitatu na kondoo-dume wa miaka mitatu na njiwa-tetere na njiwa mchanga.”+

  • 1 Samweli 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na sasa chukueni na kutengeneza gari jipya la kukokotwa,+ na ng’ombe wawili wanaonyonyesha, ambao hawajawekwa nira+ yoyote juu yao, nanyi mwafunganishe ng’ombe hao na lile gari, nanyi mwarudishe ndama wao nyumbani ili wasiwafuate.

  • 1 Samweli 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini Samweli akasema: “Nawezaje kwenda? Mara Sauli atakaposikia habari hizo, ataniua hakika.”+ Na Yehova akaendelea kusema: “Chukua ng’ombe mchanga wa mifugo pamoja nawe, nawe useme, ‘Nimekuja kumtolea Yehova dhabihu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki