1 Samweli 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Gari hilo likafika kwenye shamba la Yoshua Mbeth-shemeshi, likasimama karibu na jiwe kubwa. Basi wakapasua mbao za gari hilo, na kuwatoa ng’ombe+ hao kuwa dhabihu ya kuteketezwa kwa Yehova.
14 Gari hilo likafika kwenye shamba la Yoshua Mbeth-shemeshi, likasimama karibu na jiwe kubwa. Basi wakapasua mbao za gari hilo, na kuwatoa ng’ombe+ hao kuwa dhabihu ya kuteketezwa kwa Yehova.