1 Samweli 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nalo gari likaja katika shamba la Yoshua Mbeth-shemeshi, likasimama pale, ambapo palikuwa na jiwe kubwa. Nao wakaanza kupasua mbao za lile gari, na kuwatoa wale ng’ombe+ kuwa toleo la kuteketezwa kwa Yehova.+
14 Nalo gari likaja katika shamba la Yoshua Mbeth-shemeshi, likasimama pale, ambapo palikuwa na jiwe kubwa. Nao wakaanza kupasua mbao za lile gari, na kuwatoa wale ng’ombe+ kuwa toleo la kuteketezwa kwa Yehova.+