Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha.

  • 1 Wafalme 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana alikuwa akitawala kila kitu upande huu wa ule Mto,+ kuanzia Tifsa mpaka Gaza,+ naam, wafalme wote upande huu wa ule Mto;+ naye akawa na amani+ katika maeneo yake yote, kuzunguka pande zote.

  • Amosi 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Gaza,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu walilipeleka uhamishoni kundi zima la wahamishwa+ ili kuwatia mkononi mwa Edomu.+

  • Zekaria 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ashkeloni litaona na kuogopa; Gaza nalo pia litakuwa na maumivu makali sana; Ekroni+ pia, kwa sababu tumaini lake analotazamia+ litaona aibu. Na mfalme ataangamizwa kutoka Gaza, nalo Ashkeloni halitakaliwa na watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki