Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na jamii yote iliyochangamana, na wafalme wote wa nchi ya Usi,+ na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti+ na Ashkeloni+ na Gaza+ na Ekroni+ na mabaki ya Ashdodi;+

  • Ezekieli 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Wafilisti wametenda kwa kulipiza kisasi+ nao waliendelea kujilipizia kisasi wenyewe wakiwa na kisasi chenye dhihaka katika nafsi, ili kusababisha uharibifu,+ wakiwa na uadui unaodumu mpaka wakati usio na kipimo,+

  • Sefania 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa;+ na Ashkeloni litakuwa mahame yenye ukiwa.+ Nalo Ashdodi,+ watalifukuza katikati ya mchana;+ Ekroni nalo litang’olewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki