7 Wakati watu wa Israeli waliokuwa katika eneo la nchi tambarare ya chini na waliokuwa katika eneo la Yordani walipoona kwamba watu wa Israeli wamekimbia, na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, ndipo wakaanza kuyaacha majiji na kukimbia,+ kisha Wafilisti wakaingia na kuanza kukaa ndani yake.+