Hesabu 33:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Na itatukia kwamba kama vile nilivyokusudia kuwatendea hao, ndivyo nitakavyowatendea ninyi.’”+ Kumbukumbu la Torati 28:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+ 1 Mambo ya Nyakati 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati watu wote wa Israeli waliokuwa katika nchi tambarare ya chini walipoona kwamba wamekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, ndipo wakaanza kuyaacha majiji yao na kukimbia;+ kisha Wafilisti wakaingia na kuanza kukaa ndani yake.
33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+
7 Wakati watu wote wa Israeli waliokuwa katika nchi tambarare ya chini walipoona kwamba wamekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, ndipo wakaanza kuyaacha majiji yao na kukimbia;+ kisha Wafilisti wakaingia na kuanza kukaa ndani yake.