Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 33:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Na itatukia kwamba kama vile nilivyokusudia kuwatendea hao, ndivyo nitakavyowatendea ninyi.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 28:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakati watu wote wa Israeli waliokuwa katika nchi tambarare ya chini walipoona kwamba wamekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, ndipo wakaanza kuyaacha majiji yao na kukimbia;+ kisha Wafilisti wakaingia na kuanza kukaa ndani yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki