Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+

  • 1 Samweli 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na watu wa Israeli wakaona kwamba wako katika shida kali,+ kwa sababu watu walikuwa wamebanwa sana; na watu wakajificha katika mapango+ na mashimo na miamba na ngome na mashimo ya maji.

  • 1 Samweli 31:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakati watu wa Israeli waliokuwa katika eneo la nchi tambarare ya chini na waliokuwa katika eneo la Yordani walipoona kwamba watu wa Israeli wamekimbia, na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, ndipo wakaanza kuyaacha majiji na kukimbia,+ kisha Wafilisti wakaingia na kuanza kukaa ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki