1 Samweli 31:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watu wa Israeli waliokuwa katika eneo la bondeni na katika eneo la Yordani walipoona kwamba wanaume wa Israeli wamekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaanza kuyaacha majiji na kukimbia;+ kisha Wafilisti wakaja na kukaa humo.
7 Watu wa Israeli waliokuwa katika eneo la bondeni na katika eneo la Yordani walipoona kwamba wanaume wa Israeli wamekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaanza kuyaacha majiji na kukimbia;+ kisha Wafilisti wakaja na kukaa humo.