1 Mambo ya Nyakati 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watu wote wa Israeli waliokuwa bondeni* walipoona kwamba kila mtu amekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaanza kuyaacha majiji yao na kukimbia; kisha Wafilisti wakaja na kukaa humo.
7 Watu wote wa Israeli waliokuwa bondeni* walipoona kwamba kila mtu amekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaanza kuyaacha majiji yao na kukimbia; kisha Wafilisti wakaja na kukaa humo.